Searching...
Thursday, November 1, 2012

MHANDO WA TANESCO ATIMULIWA KAZI


Bodi ya wakurugenzi ya shirika la Ugavi na Usambazaji Umeme nchini Tanzania (Tanesco) imefikia maamuzi ya kumwachisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Mhandisi, William Geofrey Mhando kuanzia Oktoba 29, mwaka huu. Taarifa kamili ya kwa Umma kutoka Bodi hiyo hii hapa chini:-

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!