Watalii na raia wa kigeni pia walikuwemo katika meli iliyozama hawa ni baadhi ya waliosalimika
Abiria waliookolewa kutoka katika meli iliozama ya Star Gate katika bahari ya Chumbe Zanzibar
Abiria aliyeokoka kutoka katika meli iliyozama
Abiria
aliyookoka katika Meli iliozama ya Star Gate akifarijiwa na Jamaa zake
Baada ya kuteremka katika Meli iliowaokoa hapo Bandarini
0 comments:
Post a Comment