Wananchi
wa eneo la Tegeta Kibaoni, jijini Dar es Salaam wakisaidiani na polisi
kuupakiza mwili wa mmoja wa mwananchi kwenye gari kati ya watu
waliokufa katika ajali iliyotokea baada ya Lori la mchanga kupata
hitilafu ya breki na kuacha barabara na kugonga Daladala kabla ya
kuvamia baa na kusababisha vifo vya watu wawili papo hapo na wengine
nane kujeruhiwa leo.
Friday, June 22, 2012
Related Posts
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment