Searching...
Sunday, June 24, 2012

AJALI YA NDEGE KATANGA DRC CONGO


Pichani juu ni ajali ya ndege iliyotokea Jumatano Juni 20, 2012 katika jimbo la Katanga nchini DRC Congo. Ndege hiyo ilikuwa imebeba wafanyakazi wa migodi ya Mpweto na Dikulushi. Abiria wote waliokuwemo katika ndege hiyo walinusurika ambapo abiria mmoja alijeruhiwa kutokana na kutofunga mkanda.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!