Searching...
Thursday, February 16, 2012

MASHINDANO YA KUTAFUTA TIMU YA TAIFA YA MASUMBWI YAENDELEA


Bondia Fabian Gaudence (kushoto) akioneshana ufundi wa kutupa masumbwi na Idd Pialali wakati wa mashindano ya kuchagua mabondia watakaowakilisha taifa katika mashindano ya Kimataifa yanayotaraji kufanyika hivi karibuni. Gaudence alishinda kwa pointi. 

Mabondia Peter Stanley (kushoto) akipambana na Doto Shoka wakati wa mashindano ya kutafuta mabondia watakaoliwakilisha taifa katika mashindano ya Kimataifa.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!