Jiji la Mbeya limekua shagala bagala katika mitaa yake hali inayofanya kukosa hadhi ya kuitwa jiji kutokana na mazingira yake hayaridhishi machoni mwa watu hili ni eneo la uhindini katikati ya jiji la mbeya kwenye ofisi za mahesabu kanda ya nyanda za juu kusini ikiwa karibu na ghuba la takataka lililojaa zaidi ya wiki mbili sasa bila kuzolewa kwa taka hizo
Huku ni kata ya sinde jirani na shule ya msingi sinde eneo lote limezungukwa na takataka na kutoa harufu kali kwa wapitanjia na watoto wanaosoma shule ya msingi sinde
Hili ni eneo la kata ya manga jijini mbeya takazikiwa zimezagaa kila mahali
CHANZO:MBEYA YETU |
|
|
0 comments:
Post a Comment