Searching...
Sunday, February 5, 2012

JIJI LA MBEYA NA KERO YA UCHAFU!!


Jiji la Mbeya limekua shagala bagala katika mitaa yake hali inayofanya kukosa hadhi ya kuitwa jiji kutokana na mazingira yake hayaridhishi machoni mwa watu hili ni eneo la uhindini katikati ya jiji la mbeya kwenye ofisi za mahesabu kanda ya nyanda za juu kusini ikiwa karibu na ghuba la takataka lililojaa zaidi ya wiki mbili sasa bila kuzolewa kwa taka hizo

Huku ni kata ya sinde jirani na shule ya msingi sinde eneo lote limezungukwa na takataka na kutoa harufu kali kwa wapitanjia na watoto wanaosoma shule ya msingi sinde

Hili ni eneo la kata ya manga jijini mbeya takazikiwa zimezagaa kila mahali
CHANZO:MBEYA YETU

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!