Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Tawi la Benki ya PBZ huko Chake chake Pemba,(kushoto) Mkurugenzi wa PBZ Juma Amour na (kulia) Kaimu Waziri wa Fedha Mhe,Mwinyihaji Makame.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi wa chake chake kisiwani pemba wakati wa uzinduzi wa tawi la Benki ya PBZ.
Picha na Ramadhan Othaman, Ikulu-Zanzibar
0 comments:
Post a Comment