Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza katika mkutano na wanajumuia ya Watanzania mjini Houston, Marekani. Kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu, Itikadi na Uenezi Sixtus Mapunda na wengine ni viongozi wa CCM tawi la Houston
Six akijitambulisha kwa wanajumuia hao
Wanajumuia wakiwa kwenye mkutano huo
Nape Nnauye na Six wakiwa na kiongozi wa wanajumuia hao
Nape Nnauye akimbeba mtoto wa kiongozi wa tawi la CCM la Houston baada ya kupigapicha ya pamoja
Wakiwa katika mapozi mbalimbali kama hivi
Nape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa CCM tawi la Houston na wanajumuia wengine waliohudhuria mkutano huo
Viongozi wa CCM wa tawi la Houston
0 comments:
Post a Comment