Searching...
Monday, October 31, 2011

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye Ateta na Viongozi Wa CCM Tawi la Houston Texas Nchini Marekani

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza katika mkutano na wanajumuia ya Watanzania mjini Houston, Marekani. Kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu, Itikadi na Uenezi Sixtus Mapunda na wengine ni viongozi wa CCM tawi la Houston
Six akijitambulisha kwa wanajumuia hao
Wanajumuia wakiwa kwenye mkutano huo
Nape Nnauye na Six wakiwa na kiongozi wa wanajumuia hao
Nape Nnauye akimbeba mtoto wa kiongozi wa tawi la CCM la Houston baada ya kupigapicha ya pamoja
Wakiwa katika mapozi mbalimbali kama hivi
Nape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa CCM tawi la Houston na wanajumuia wengine waliohudhuria mkutano huo
Viongozi wa CCM wa tawi la Houston

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!