Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba akiwa na mgombea Ubunge wa chama hicho, Leopold Mahona kwenye mkokoteni wa punda katika maandamano ya wanachama kwenda katika viwanja vya kumbukumbu ya Sokoine mjini Igunga kwenye uzinduzi wa kampeni za chama hicho.
0 comments:
Post a Comment