Hii ni kwa mujibu wa kamishina mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR Antonio Guterres. Anasema hofu kwamba nchi zilizoendelea ndio zinaghubikwa na wimbi kubwa la wakimbizi si sahihi. Katika siku hii ya wakimbizi duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka Juni 20 Guterres amesema nchi hizo masikini, nyingi ziko barani Afrika
Nchi masikini kabisa duniani ndio zinazobeba mzigo mkubwa wa wakimbizi:UNHCR
Hii ni kwa mujibu wa kamishina mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR Antonio Guterres. Anasema hofu kwamba nchi zilizoendelea ndio zinaghubikwa na wimbi kubwa la wakimbizi si sahihi. Katika siku hii ya wakimbizi duniani ambayo huadhimishwa kila mwaka Juni 20 Guterres amesema nchi hizo masikini, nyingi ziko barani Afrika
0 comments:
Post a Comment