Searching...
Monday, June 13, 2011

Ban akaribisha hatua za kupambana na Ukimwi zilizopitishwa na viongozi wa dunia

General Assembly Hall
General Assembly Hall
Wakati huohuo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amekaribisha azimio lililopitishwa na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa la mipango mipya ya kukabiliana na virusi vya HIV na ukimwi.
Amesema azimio hilo lina lengio la kutokomeza ugonjwa huo ambao tayari umeshakatili maisha ya watu zaidi ya milioni 30 tangu ulipozuka miongo mitatu iliyopita. Ban amesema ametiwa moyo na nchi wanachama kwa kuafikiana na kujiwekea malengo maalumu ya kuzuia, kutibu, kuhudumia na kusaidia ifikapo 2015. Jason Nyakundi anaarifu.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!