Waziri mkuu wa China Bw. Wen Jiabao ambaye yuko ziarani nchini Indonesia siku ya Jumamosi amesema, China inapenda kuendelea kutoa msaada kwa nchi zilizoko nyuma kimaendeleo za Umoja wa Asia ya Kusini Mashariki bila kuweka masharti yoyote.
Bw. Wen Jiabao amesema kutokana na sababu za kihistoria, baadhi ya nchi wanachama wa Umoja wa Asia ya Kusini Mashariki bado zinakabiliwa na tatizo la umaskini, na kusema China itaendelea kutoa msaada kwa nchi hizo kama ilivyofanya zamani.
Bw. Wen Jiabao amesema kutokana na sababu za kihistoria, baadhi ya nchi wanachama wa Umoja wa Asia ya Kusini Mashariki bado zinakabiliwa na tatizo la umaskini, na kusema China itaendelea kutoa msaada kwa nchi hizo kama ilivyofanya zamani.
0 comments:
Post a Comment