Blog hiii inaungana na familia,ndugu,jamaa na marafiki katika kuadhimisha siku adhimu ya kaka yetu mpendwa RASHID MILLER aliye katika jiji la Tanga nchini Tanzania,Blog hii inamtakia kila la kher katika shughuli zake za kila siku.M/Mungu amjaalie afya njema,uzima na nguvu,amzidishie hekma na busara katika maisha yake ya kila siku.Amin.
HAPPY BIRTHDAY RASHID MILLER.............!!!!!
HAPPY BIRTHDAY RASHID MILLER.............!!!!!
0 comments:
Post a Comment