Ripoti hiyo inasisitiza tena lengo la kimkakati lililotolewa na rais Obama katika nyaraka zake kuhusu hali ya Marekani, na kutangaza mipango mitano ili kutimiza lengo hilo. Mipango hiyo ni pamoja na kuendesha mtandao wa Internet bila ya waya, kufanya mageuzi ya utaratibu wa kupitisha maombi ya hataza, kuendeleza nishati zisizosababisha uchafuzi wa mazingira, kufanya mageuzi ya elimu, na kusaidia makampuni madogo na yenye ukubwa wa kati kuanzisha shughuli zao na kuongeza nafasi za ajira.


0 comments:
Post a Comment