Maafisa wa serikali ya Kenya wamesema askari polisi aliyehamaki amewapiga risasi na kuwauwa watu kumi.
Mwandishi habari katika eneo la hilo amesema askari polisi huyo alifyatua risasi holela katika baa tatu tofauti na kuuwa watu wawili katika baa mbili na wengine wanane katika baa ya tatu.
Taarifa zinasema mamia ya watu walifanya maandamano nje ya kituo cha polisi mjini humo.
0 comments:
Post a Comment