Liverpool wamethibitisha kocha Rafael Benitez anaondoka klabuni hapo ni baada ya kuridhiana klabu pamoja na kocha mwenyewe,makubaliano hayo yalifikiwa ni baada ya kocha huyo kuwa katika mkataba na klabu hiyo.Kocha huyo akufikiana moja ya vipengele vya mkataba kwa kutoleta mafanikio yoyote kwenye klabu na klabu kutofuzu kwenye mashindano makubwa barani ulaya ya Champions Leugue.


0 comments:
Post a Comment