Searching...
Sunday, June 6, 2010

Kibaka achomwa moto leo alfajiri‏ huko Morogoro

Kijana mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja aliyedaiwa kuwa ni kibaka, leo alfajiri amechomwa moto na wananchi wenye hasira kali katika Mtaa wa Lusengwa, Manzese mkoani Morogoro.

Taarifa zilizopatikana eneo la tukio zilidai kuwa, kibaka huyo alikamatwa akiwa katika jaribio la kutaka kuiba simu ambapo raia wenye hasira kali walimkamata kisha kumshushia kipigo kabla ya kumchoma mto hadi umauti kumkuta.

Chanzo cha Habari Bofya hapa

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!