Searching...
Tuesday, June 8, 2010

Hakuna msichana anayestahili kunyimwa haki ya elimu:Naibu mkuu wa haki

Naibu mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Kyung-Wha Kang amesema kutambua haki ya elimu ni muhimu kwa wanawake kuweza kufurahia haki za binadamu.

Haki ya wasichana kusoma

Haki ya wasichana kusoma

Hayo ameyasema leo kwenye mkutano wa baraza la haki za binadamu mjini Geneva ambao unajadili haki za wanawake, na amesisitiza kwamba asiwepo hata msichana mmoja atakayeendelea kunyimwa haki yake ya elimu.

Amesema wanawake kutojumuishwa katika elimu ni kuwatenga na kuwabagua na ni jambo ambalo halikubaliki.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!