Searching...
Sunday, May 23, 2010

KATIKA MNUSO WA MBONIE MASIMBA NI BAADA YA KUSHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE

Hapa dada mbonie akifungua mnuso huooo
Wageni nao walifuata kwa utaratibu maalumu
Utaratibu wa kuchuka mnuso ukiendeleaa
Hapa akimlisha kipande cha keki rafiki wa karibu wametoka mbali jamaniii
akimlisha keki bibi harusi wake
Na dada yake anaeitwa Mariam akuwa mbali katika kulishwa kekii
Akiwa na marafiki zake katika kupata kumbukumbu katika siku hiyo
kama kawaida dada mbonie upambwa na tabasamu kila wakati
Ulifika wakati wa kupewa zawadi toka kwa ndugu, jamaa na marafiki,akipokea moja ya zawadi hizo
Mmoja wa marafiki alimapatia zawadi ya skirt
Alipata zawadi nyingi sana siku hiyo mwenyewe alishindwa kubeba
Hata ua pia ni zawadi
Dada Mbonie akiwa na Slyvia wakipata kumbukumbu ya pamoja siku hiyo

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!