Searching...
Wednesday, May 5, 2010

Stanbic Bank yaanza matumizi ya Shariah

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Stanbic Bashir Awale akionesha hati ya utambulisho ya huduma za Kibenki chini ya Shariah.
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Stanbic Bashir Awale (kushoto) akipokea hati maalim ya utambulisho ya utoaji huduma za Kibeki chini ya Shariah ya Kiislam Dar es Salaam jana kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shariah, Sheikh Muharram Doga. Kulia ni Mkuu wa Msoko wa Benki hiyo, Abdallah Singano.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!