Searching...
Wednesday, August 27, 2014

MWAKA HUU WANALO! MAN UNITED YAPIGWA 4-0 NA KITIMU CHA 'MCHANGANI, GIGGS AANGUA KILIO BENCHI

KOCHA Louis van Gaal ameendelea kuogelea katika bwawa la maji moto Manchester United, baada ya usiku huu kfungwa na Mk Dons ya Daraja la Kwanza mabao 4-0 katika michuano ya Kombe la Ligi, maarufu Capital One.
Mabao yaliyomtia machungu Van Gaal leo yamefungwa na Will Grigg dakika ya 25 na 63 na Benik Afobe anayecheza kwa mkopo kutoka Arsenal dakika ya 70 na 83.
Kocha Msaidizi Ryan Giggs alionekana kufuta machozi baada ya bao la tatu, akiwa kwenye benchi na bosi wake, van Gaal.
Kikosi cha MK Dons: Martin, Baldock, McFadzean, Kay, Lewington, Alli, Potter, Carruthers/Green dk61, Reeves, Bowditch/Powell dk56 na Grigg/Afobe dk68.
Manchester United: De Gea, M.Keane, Evans, Vermijl 5, Janko/Perrara dk46, Anderson, Kagawa/Januzaj dk20, Powell/Wilson dk57, James, Hernandez na Welbeck.
Analia: Kocha Msaidizi Ryan Giggs akiwa ameshika kichwa akilia kwa uchungu mwishoni mwa mchezo huo, huku kocha Louis van Gaal akiwa haamini macho yake
Unbelievable: United players stand shocked after MK Dons scored to make it 2-0, but worse was to come for Louis van Gaal's men
Wachezaji wa United wakiwa hoi baada ya kipigo 
Behind: United fans react angrily to going one behind as League One MK Dons celebrate in front of them at stadiummk after the first goal
Wachezaji wa MK Dons wakishangilia bao lao la kwanza
Easy pickings: Grigg chests the ball home for MK Dons' second goal past De Gea after Greeves' deep cross after half-time
Grigg akimtungua kipa De Gea 

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!