Mabingwa Bundesliga
Bayern Munich wametangaza kukubaliana na mabingwa Ulaya klabu ya Real Madrid
juu ya uhamisho wa Kiungo mkongwe Xabi Alonso, kuziba nafasi za majeruhi zilizoachwa na Javi Martinez,
Bastian Shwanstiger na Thiago Alcantara.
Xabi Alonso |
Akithibitisha
mbele ya waandishi wa Habari,
mkurugenzi wa bodi ya Bayern munich, Jan-Christian Jeseen, amesema kuwa
klabu hizo zimekubaliana kuhusu uhamisho wa kiungo huyo mwenye umri
wamika
32 na anafanyiwa vipimo vya afya leo Agosti 28, 2014.
Alonso alijiungana Real
Madrid mwaka 2009, akitokea Liverpool na kufanikiwa kuichezea Madrid mechi zaidi ya
200, mkataba wa awali wa Alonso ulikuwa unamalizika mwaka 2016,
lakini analazimika kuondoka Santiago Bernabeu kutokana na ugumu wanafasi katika kikosi
cha kwanza cha Carlo Anchellot kutokana na uwepo wa Toni
Kroos aliye jiunga na klabu hiyo akitokea Bayern Munich Julai mwaka huu.
0 comments:
Post a Comment