
Mkombozi: Sone Aluko aliifungia goli pekee la ushindi klabu ya Hull City dhidi ya AS Trencin.

Furaha kubwa: Sone Aluko akishangilia baada ya kufunga dhidi ya AS Trencin na kuwafanya Hull wafuzu hatua inayofuata.
HULL itachuana na Lokeren katika mechi mbili za raundi ya pili ya mtoano ya ligi ya Europa.
Kikosi hicho cha Steve Bruce kiliitandika AS Trencin ya Slovakia kwa wastani wa mabao 2-1 katika mchezo wa jana alhamisi na sasa watakabiliana na timu hiyo ya Ubelgiji.
Wakati huo huo, Tottenham watakabiliana
na timu ya Cypriot ya AEL Limassol, ambao wapo katika mashindano hayo
baada ya kupoteza mechi kwa mabao 3-1 dhidi ya timu ya Zenit Saint
Petersburg chini ya Andre Villas-Boas katika mchezo wa raundi ya tatu ya
kufuzu UEFA.
DROO NZIMA YA EUROPA


0 comments:
Post a Comment