Searching...
Tuesday, August 26, 2014

DI MARIA AFYA SAFI, AENDA KUSAINI MAKAO MAKUU

KIUNGO Angel di Maria amefaulu vipimo vya afya kuelekea kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 59.7 Manchester United kutoka Real Madrid.
Dili hilo la kuvunja rekodi ya usajili Uingereza, litamfanya Di Maria awe analipwa Pauni 200,000 kwa wiki katika Mkataba wa miaka mitano atakaosaini. 
Sasa mchezaji huyo anaelekea makao makuu ya klabu kwa ajili ya kusaini.

Tabasamu la ushindi: Di Maria alitoa mchango mkubwa kwa Real Madrid kutwaa ubingwa wa Ulaya msimu uliopita

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!