Searching...
Tuesday, August 19, 2014

ARSENAL WAJIFUA KUPIGANA KABLA YA KWENDA KUIVAA BESKITAS UTURUKI

Kupigana kumo: Wachezaji wa Arsenal wakitaniana kwa kupigana wakati wa mazoezi ya mwisho ya timu yao jana kala ya kusafiri kwenda Uturuki, kumenyana na wenyeji Besiktas katika mchezo wa kwanza wa kufuzu Ligi ya Mabingwa UlayaAll smiles: The Arsenal players seemed to be in a relaxed mood at their London Colney training base
Wachezaji waArsenal baada ya mazoezi Uwanja wa Colney, London janaTime to listen: Arsene Wenger (centre) talks to his players during the training session
Kocha Arsene Wenger (katikati) akizungumza na wachezaji mazoeziniOn their way: Alex Oxlade-Chamberlain (left) posted this 'selfie' with Arsenal new boy Calum Chambers
Safarini: Alex Oxlade-Chamberlain (kushoto) ameposti picha hii akiwa na mchezaji mwenzake mpya wa Arsenal, Calum Chambers safarini Uturuki

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!