Kupigana
kumo: Wachezaji wa Arsenal wakitaniana kwa kupigana wakati wa mazoezi
ya mwisho ya timu yao jana kala ya kusafiri kwenda Uturuki, kumenyana na
wenyeji Besiktas katika mchezo wa kwanza wa kufuzu Ligi ya Mabingwa
Ulaya

Wachezaji waArsenal baada ya mazoezi Uwanja wa Colney, London jana

Kocha Arsene Wenger (katikati) akizungumza na wachezaji mazoezini

Safarini:
Alex Oxlade-Chamberlain (kushoto) ameposti picha hii akiwa na mchezaji
mwenzake mpya wa Arsenal, Calum Chambers safarini Uturuki



0 comments:
Post a Comment