Searching...
Friday, July 18, 2014

`BIG BOSI` AZAM FC AWATEMBELEA FRANK DOMAYO NA JOSEPH KIMWAGA



Viongozi wa klabu ya Azam Fc Mwenye Kiti Saidi Muhamed, Katibu Mkuu Nassoro Idrisa pamoja na Meneje Jemedali Saidi walipo watembelea Majeruhi Joseph Kimwaga pamoja na Frank Domayo Katika Hostel za Azam Complex iliyopo chamazi.
Wachezaji hao kwa hivi sasa wanaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu Afrika ya kusini.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!