Searching...
Sunday, April 27, 2014

BWANA MKUBWA GIGSS ALIVYOANZA KAZI JANA OLD TRAFFORD

article-2613799-1D6173B600000578-835_634x417
Kipenzi cha mashabiki: Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs akiwapigia makofi mashabiki Uwanja wa Old Trafford baada ya kuiwezesha timu kushinda mabao 4-0 jana dhidi ya Norwich City katika mechi ya Ligi Kuu England ambayo ilikuwa ya kwanza tangu arithi mikoba ya David Moyes aliyefukuzwa wiki hii.
Hunting down: The win moved United closer to Tottenham in sixth place in the Premier League
Furaha imerudi: Ushindi huo umeisogeza United jirani na Tottenham inayoshika nafasi ya sita
Popular: The new Manchester United manager signs autographs for spectators at Old Trafford
Maarufu: Kocha mpya wa Manchester United akisaini autographs za mashabiki Uwanja wa Old Trafford
Dream team: Giggs takes a seat next to his coaching team of Nicky Butt, Paul Scholes and Phil Neville
Dream Team: Giggs akiwa ameketi na Wasaidizi wake, Nicky Butt, Paul Scholes na Phil Neville

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!