Kipenzi
cha mashabiki: Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs
akiwapigia makofi mashabiki Uwanja wa Old Trafford baada ya kuiwezesha
timu kushinda mabao 4-0 jana dhidi ya Norwich City katika mechi ya Ligi
Kuu England ambayo ilikuwa ya kwanza tangu arithi mikoba ya David Moyes
aliyefukuzwa wiki hii.
Furaha imerudi: Ushindi huo umeisogeza United jirani na Tottenham inayoshika nafasi ya sita
Maarufu: Kocha mpya wa Manchester United akisaini autographs za mashabiki Uwanja wa Old Trafford
Dream Team: Giggs akiwa ameketi na Wasaidizi wake, Nicky Butt, Paul Scholes na Phil Neville
0 comments:
Post a Comment