Searching...
Friday, January 31, 2014

SIKU YA MWISHO YA USAJILI - WENGER AKANUSHA KUTAKA KUMSAJILI DRAXLER


………………………………………………………………………………...
Wakati yakiwa yamebakia masaa machache mpaka muda wa kufungwa kwa dirisha la usajili barani ulaya kufungwa, kocha wa Arsenal Arsene Wenger amethibitisha rasmi kwamba klabu yake haitomsaini kiungo wa klabu ya Schalke Julian Draxler 
"Usajili wa Draxler umetengenezwa na magazeti, na sio mimi. Ataendelea kuwepo Schalke," Wenger amewaambia maripota muda mchache uliopita.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!