Searching...
Monday, June 3, 2013

DALADALA LAINGIA MTARONI MAGOMENI

Daladala moja inayofanya route zake za Gongo la Mboto na Masaki jijini Dar es Salaan, imetumbukia mtaroni asubuhi ya leo maeneo ya Magomeni Mikumibaada ya kutaka kuovertake gari ndogo aina ya Noah na kusababisha kupoteza muelekeo na kuingia mtaroni lakini kwa bahati nzuri hakuna aliyepoteza maisha wote wamejeruhiwahapo chini ni daladala hiyo pia askari akichukua maelezo kwa majeruhi:Picha kwa Hisani ya Mwanaharakati Blog




 wakazi wakiangalia ajali hiyo.
 Polisi wakizungumza na abiria na majeruhi.
 Askari wakilinda usalama
Kunguru wakibeba gari hilo.










Edited:by Abuu

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!