KOCHA wa muda wa Klabu ya Chelsea ya England, Roberto Di Matteo, leo
ametimuliwa kazi kutokana na kichapo cha bao 3-0 kutoka kwa Juventus
katika mchezo wa Klabu Bingwa Ulaya jana.
Di Matteo aliyekuwa na mkataba wa miaka 2 na klabu hiyo, alichukua mikoba ya kocha, Andre Villas-Boas Machi mwaka huu.
Matteo alifanikiwa kutwaa kombe la Klabu Bingwa Ulaya pamoja na kombe la FA msimu uliopita akiwa na timu hiyo.
Di Matteo aliyekuwa na mkataba wa miaka 2 na klabu hiyo, alichukua mikoba ya kocha, Andre Villas-Boas Machi mwaka huu.
Matteo alifanikiwa kutwaa kombe la Klabu Bingwa Ulaya pamoja na kombe la FA msimu uliopita akiwa na timu hiyo.
0 comments:
Post a Comment