Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo Jumuiya ya Ulaya
Andris Piebalgs(Watau kushoto) na Waziri wa Maji Profesa JumANNE
Maghembe wakikagua chanzo cha maji eneo la Swaya mjini Mbeya wakati wa uzinduzi wa mradi maji safi na mazingira mjni humo leo mchana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete,Kamishna wa Maendeleo katika Jumuiya ya Ulaya Andris
Piebalgs(wapili kushoto), balozi wa jumuiya ya ulaya nchini Cerian
Philberto Sebregondi(kushoto),Balozi wa Ujerumani nchini Klaus Peter
Brandes na Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe wakikata utepe
kuzindua rasmi mradi wa maji safi na mazingira Mjini Mbeya
0 comments:
Post a Comment