Kiongozi
wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa, Kapt. Honest Ernest Mwanossa
akipanda mti kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi wa upandaji miti katika
eneo la kiwanda cha Tanga Cement, Pongwe, Tanga juzi. Jumla ya miti 13600 imepandwa katika mradi huo uliogharimu kiasi cha shs milioni 42.
Mkuu
wa Wilaya ya Tanga Halima Dendegu (katikati) akiwa na
Ofisa Mawasiliano wa Tanga Cement, Bi. Mtanga Noor (kushoto) na
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Kapt. Honest Ernest
Mwanossa (kulia) baada ya kuzindua mradi wa upandaji miti katika eneo
la kiwanda cha kampuni hiyo jijini Tanga juzi. Jumla ya miti 13600
imepandwa katika mradi huo uliogharimu kiasi cha shs milioni 42.
Kaimu
Mkuu wa Idara ya Fedha wa kampuni ya Tanga Cement, Edgar Mlenge
akipokea mwenge kutoka kwa wakimbizaji katika eneo la kiwanda chao
wakati wa uzinduzi wa mradi wa upandaji miti katika eneo hilo jijini Tanga mwishoni mwa wiki. Jumla ya miti 13600 imepandwa katika mradi huo uliogharimu kiasi cha shs milioni 42.
Ofisa
Utawala wa Tanga Cement, Changwa Mjella, akipokea mwenge wa uhuru
ulipowasili katika eneo la kiwanda chao tayari kwa hafla ya uzinduzi wa
mradi wa miti. Mikaratusi 10,000 na mitiki 3600 imepanda katika eneo hilo.
Kwa hisani ya Father kidevu
0 comments:
Post a Comment