Searching...
Sunday, February 5, 2012

Maandalizi Ya Maandamano Dhafa

Fadhil Abdul akipamba bendera kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam jana ikiwa ni maandalizi ya maandamano (Dhafa) yatakayofanyika Jumamosi usiku katika mitaa mbalimbali ya jiji kusherehekea Maadhimisho ya Sikukuu ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAW) ambazo kitaifa zitafanyika Kilosa mkoani Morogoro.
Picha na Mohamed Mambo

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!