Kama kawaida watu wangu niliwaambia kuwa nilienda nchi tatu hapa sasa nipo Hong Kong, nikiwa ndani ya treni ya umeme nikielekea matembezini, kuna mdau mmoja alisema China na Hong Kong ni nchi moja sikweli kaka ni nchi mbili tofauti hata unapotoka Hong Kong kwenda china unaingia kwa viza na hata Muong kong anaingia China kwa viza pia, Mdau kwa hiyo tusiwe wajuaji sana wakati hatujui tujifanye wajinga ili tuweze kuwa welevu
Cheki mji huo jamani sijui viongozi wetu wa nchi wanapopata ziara za nje ya nchi hawajifunzi kitu kutoka kwa wenzetu mimi naamini nchi yetu tuna kila kitu kwanini tuashindwa kuijenga nchi yetu inauma sana jamani
Umati ni mkubwa sana sasa kwanini nchi isiwe ya kitajiri, wewe cheki mwenyewe na hii ni kawaida wala si kitu cha kushangza kwao yani kupishana ni tabu kweli kweli
The Greatest katika pozi
Nikipata picha ya kumbukumbu
0 comments:
Post a Comment