Searching...
Wednesday, May 25, 2011

Birmingham yafuta safari ya Tanzania

City
Birmingham City

Birmingham City wameamua kufuta safari yao ya kwenda Tanzania.
City, ambao wameshuka daraja katika ligi kuu ya England msimu huu walikuwa wasafiri kwenda Tanzania kupambana na Simba ya Yanga katika mechi za kirafiki.
Hata hivyo watayarishaji walishindwa kuthibitisha utaratibu wa safari hiyo katika muda waliopewa.
Mabingwa hao wa kombe la Carling sasa wanatafuta nchi ya kwenda kucheza mechi za za kabla ya kuanza kwa msimu.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!