Searching...
Thursday, May 12, 2011

Barcelona mabingwa La Liga

Barcelona wamechukua ubingwa kwa mara nyingine tena wa ligi kuu ya Uhispania baada ya kutoka sare na Levante na kupata pointi moja iliyosalia kutangazwa washindi.
Messi
Messi wa Barca
Barca wamechukua ushindi huu kwa mara ya tatu mfululizo, baada ya kufikisha pointi 92 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine msimu huu.
Mahasimu wao Real Madrid wamechukua nafasi ya pili.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!