Searching...
Wednesday, May 4, 2011

Barcelona kucheza fainali UEFA

Barcelona imejikatika tiketi ya kucheza fainali ya michuano ya klabu bingwa Ulaya baada ya kutoka sare ya 1-1 na Real Madrid kwenye mchezo wa pili wa nusu fainali.
Pedro
Pedro
Katika mchezo wa kwanza uliojaa na misukosuko Barcelona ilipata ushindi wa mabao 2-0.
Pedro aliipatia Barcelona goli hilo, huku Marcelo akisawazisha bao hilo.
Barcelona sasa watapambana na mshindi kati ya Manchester United au Schalke 04.
Fainali itachezwa Mei 28 kwenye uwanja wa Wembley, jijini London.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!