Nyota wa Barcelona Lionel Messi alifunga mabao mawili ya haraka haraka katika dakika za mwisho, na kuipa nafasi kubwa Barca kucheza fainali ya Klabu Bingwa Ulaya.
Messi
Kulikuwa na mvutano mkali kati ya timu hizo mbili, katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali, hadi pale Pepe wa Real alipopewa kadi nyekundu katika dakika ya 61.
Baada ya kadi hiyo, Barca walianza kutawala, na kupata magoli hayo mawili.
0 comments:
Post a Comment