Rais Hu Jintao wa China tarehe 30 hapa Beijing alipokutana na rais Nocolas Sarkozy wa Ufaransa alisema, upande wa China unaunga mkono juhudi zote zinazosaidia kupunguza hali wasiwasi ya Libya kwa hivi sasa, na kuzitaka pande zote zinazohusika zisimamishe vita mara moja, zitafute ufumbuzi wa kiamani wa tatizo, ili kuepusha vifo na majeruhi ya raia wengi, na kuifanya Libya irudi katika hali ya utulivu haraka iwezekanavyo.
0 comments:
Post a Comment