Hawa ndio wazoefu wa kitaa hicho cha tolichowki udocni,wa kwanza kulia kwako ni M/kiti mstahafu wa jumuiya ya wanafunzi waishio hyderabad Bw.Abdillah Nkya akifatiwa na Mr.Nassib ,Mr Mustafa a.k.a Dr Matata ambaye hajawahi kukaukiwa na stori za maskani hata siku moja akifuatiwa na Bw.Alex,Bw.Habib maarufu bwana kudo nyuma ya aliyevaa shati namba 10,mwenye nyekundu Mr. Ally a.k.a Mafia na mwenye jezi no 10 ni.Mr Hashim
kikosi kizima cha tolichowki ...kusema ukweli ule msemo wa '' umoja nguvu na mshikamano''unapatikana kwenye hii picha
huwezi kuamini hawa watanzania walivyokuwa na umoja na mshikamano....umoja huu walijengea na nchi yao hivyo wanaudumisha hata wakiwa kwenye nchi za watu
Wanaharakati katika kumbukumbu ya pamoja toka kuliaAllyshams,Tata Boy,Kudo,Ally a.k.a Mafia na mwisho Nkya 85
Huyu ni Mr.Adam na Mr Patrick..... wakionesha ushirikiano waliokuwa nao..Hapo kuna kichwa cha uchumi na computa
Miss Dina nae hakuwa nyuma ..ni ktk mamis wanaojitolea kuendesha libenenge la umoja wa wanafunzi waishio hapa mjini hyderabad india
kulia kwako wa kwanza ni Mr.Joseph Makwinya huyu ndie aliyeandaa shughuli hii ...ambapo pamoja na kubadilishana mawazo ya hapa na pale ..alihakikisha kila mtu anagonga mishkaki kadhaa,kuku wakuchoma ,kinywaji cha kulainisha koo,na hata kwa wale wapenzi wa viepe pia alihakikisha nao wanavisinabuda
kwa kweli inafurahisha sana wanafunzi wakigeni tunapokutana kama hivi ,na kujadili mambo mbalimbali,ya kwetu na nyumbani Tanzania yaani unasikia furaha 90 degree angle
0 comments:
Post a Comment