Searching...
Saturday, February 19, 2011

KM Ban ataka utumiaji nguvu dhidi ya waandamanaji ukomeshwe mara moja

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameyataka mataifa ya Afrika Kaskani na Mashariki ya Kati kujiepusha na matumizi ya nguvu za dola wakati inapojaribu kukabiliana na maandamano ya amani.
KM Ban Ki-moon
KM Ban Ki-moon
Akizungumza katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, Ban amesema amesononeshwa mno na taarifa mbaya zinazotoka huko Bahrain ambako vikosi vya serikali vimepambana na waandamanaji.
  Pia amewatolea mwito viongozi wa maeneo hayo na duniani kwa ujumla kukaribisha mageuzi

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!