Zanibar
Wapenzi na wafuasi wa vyama vya CCM na CUF,wakijimwaga barabarani kwa pamoja kushangilia ushindi wa Wazanzibari baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu uliofanyika kwa utulivu na amani na kumshuhudia Dk.Ali Mohamed Shein,akitangazwa kuwa Rais mteule huku mpinzani wake mkubwa,Maalim Seif Sharif Hamad wa CUF,akimuunga mkono.
0 comments:
Post a Comment