Andrej Mahecic msemaji wa Shirila la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Wakimbizi amesema kwamba, kwa mujibu wa taarifa walizopata, watu wasiopungua 60 wameuwa na zaidi ya wengine 50 wamejeruhiwa katika mapigano hayo. Mehecis aidha ameongeza kwamba, makumi ya maelfu ya Wasomali waliokimbia makaazi yao bado wamekwama na kuhangaika katika mji Mkuu Mogadishu huku wanawake na watoto wakilazimika kuomba omba ili kukidhi mahitaji yao.
Idhaa ya kiswahili redio tehran
0 comments:
Post a Comment