Mamaa Dontinata akigonganisha glasi ya champeni na Allan Kalinga, mmoja wa Maprodyuza wa filamu ya Lovely Gamble iliyozinduliwa usiku wa kuamkia leo Club Billicanas jijini Dar
Mwenyekiti Mtendaji wa African Stars Entertainment Bw. Baraka Msiilwa (kulia) akimtunuku hati Allan Kallinga huku prodyuza mwenzie Da'Asha Baraka akisherehesha
Mwenyekiti Mtendaji wa African Stars Entertainment Bw. Baraka Msiilwa (kulia) akimtunuku hati Allan Kallinga huku prodyuza mwenzie Da'Asha Baraka akisherehesha
Stelingi mkuu wa Lovely Gamble Steve Kanumba the Great akipokea hati yake huku MC Claude akisherehesha
Steve Kanumba the Great akila pozi na Baraka Msiilwa. Nyuma yao ni Da'Asha na MC Claude
Club Billicanas palikuwa hapatoshi
Da'Asha akiwasili na kausafiri kake
foleni ya kuingilia ndani
We Amos una ngapi...? Aboubakar Liongo na wadau wengine wakichangishana kiingilio.
Da' Asha na wadau kabla ya kuingia ukumbini
0 comments:
Post a Comment