Searching...
Tuesday, April 27, 2010

KILELE CHA SHEREHE ZA MIAKA 46 YA MUUNGANO

JK akipungia mkono umati mkubwa wa wananchi waliofurika katika uwanja wa taifa jijini Dar kwa kusherehekea miaka 46 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.pembeni yake ni mkuu wa majeshi Jenerali Davies Mwamunyange.
JK akikaribishwa jukwaa kuu na Rais wa Zanzibar,Mh.Amani Abeid Karume,kushoto ni Waziri mkuu Mh,Mizengo Pinda.
JK akikagua gwaride rasmi la kuhadhimisha miaka 46 ya muungano
Wakuu wakiwa jukwaa kuu

JK akisalimiana na spika wa bunge la Jamhri ya muungano Mh.Samwel Sitta.kati yao nia Rais matssafu wa awamu ya tatu Mh.Benjamin Makapa.

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!