Searching...
Thursday, April 24, 2014

REAL MADRID NA BAYERN MUNICH KATIKA PICHA JANA BERNABEU

Juu kwa juu: Cristiano Ronaldo (katikati) akiwa ameruka juu zaidi ya Alaba (wa pili kushoto) na Dante kuwania mpira wa juu katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya jana Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, Hispania. Real ilishinda 1-0.At close quarters: Bayern Munich's Franck Ribery (left) is closed down by Real's Daniel Carvajal
Franck Ribery wa Bayern Munich (kushoto) akimfukuzia Daniel Carvajal wa RealPulling the trigger: Benzema celebrates in a unique way after his goal at the Santiago Bernabeu
Mfungaji wa bao pekee la Real, Karim Benzema akishangilia baada ya kufunga Uwanja wa Santiago BernabeuHigh five: Ronaldo is replaced in the 74th minute by Welshman Gareth Bale
Kula gwala, kamalizie kazi: Ronaldo akimpisha Gareth Bale dakika ya 74Helping hand: Bayern Munich's Philipp Lahm and Real's Gareth Bale (right) challenge for a header
Philipp Lahm na Gareth Bale (kulia wakigombea mpira wa juuDiving in: Bayern's Brazilian defender Dante (left) makes the tackle on Real's Angel di Maria
Beki Mbrazil wa Bayern, Dante (kushoto) akipitia mpira miguuni mwa Angel di Maria wa RealAppeal: Bayern Munich's Thomas Muller (centre) argues for a penalty to no avail
Thomas Muller (katikati) wa Bayern akililia penaltiShut eye: Real Madrid's Sergio Ramos (left) clears the ball as Bayern's Bastian Schweinsteiger chases
Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos (kushoto) akiosha mbele ya mshambuliaji wa Bayern, Bastian SchweinsteigerOn the ball: Schweinsteiger looks to challenge Real Madrid midfielder Xabi Alonso (centre)
Schweinsteiger akimdhibiti kiungo wa Real Madrid, Xabi Alonso (katikati)Acrobatics: Pepe (left) and Sergio Ramos (centre) rise high to clear the ball from Ribery
Mabeki wa Real, Pepe (kushoto) na Sergio Ramos (katikati) wakienda hewani kuondosha hatarini mpira wa juu kutoka kwa Ribery
Pulling no punches: Iker Casillas (right) looks to clear the ball as Javier Martinez goes for the header
Kipa wa Real, Iker Casillas (kulia) akiokoa mpira kichwani kwa Javier Martinez Charge: Cristiano Ronaldo advances with the ball as he leaves Jerome Boateng in his wake
Cristiano Ronaldo akimtoka Jerome Boateng

0 comments:

WELCOME URARY95 SPORTS NEWS BLOG | ADVERTISE YOUR BUSINESS HERE AT A CHEAP PRICE MORE INFORMATION CONTACT US: 0654315901 | Email: urary95@yahoo.com | KARIBU URARY95 SPORTS NEWS BLOG | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA KWA GHARAMA NAFUU KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI: 0654315901 | Barua Pepe: urary95@yahoo.com
 
Back to top!